JK- 'Kama ni kwenye mpira tunafunga magoli wenyewe wamesimama wanatutazama alafu watakuja kujiuliza tumefungaje'

JK -'Tumejipanga kwa hoja,tunazo za kutosha za kuzungumzia uzuri wa CCM,maendeleo yanaonekana na dunia nzima inajua

 JK- 'Tumejiandaa vya kutosha kushinda na tutashinda, tunao uzoefu, maarifa na uwezo wa kushinda tunao, tujipange'



 JK- 'CCM inaendesha vizuri nchi hii, ila watu wamekua na tamaa tu, wengine tamaa zimekithiri na kuvuka mipaka'
- IKULU:Mgombea Urais CCM Dk John Magufuli akilakiwa na M/kiti CCM katika ofisi ndogo ya CCMLumumba jijini






 

Dk.MAGUFULI - 'Nawashukuru mliojitokeza kwa wingi kwa niaba ya Watanzania kutusindikiza sisi kuchukua fomu

Dk.MAGUFULI- 'Mkusanyiko huu wa watu waliojitokeza leo kutusindikiza ni ushahidi tosha CCM itaendelea kutawala nchi

Dk.MAGUFULI- Nawashukuru Watanzania wa dini zote, makabila yote kwa kuzidi kukiombea chama chetu kizidi kushika doka #CCM2015

Dk.MAGUFULI- 'Shida za Watanzania ninazijua, mategemeo yao pia ninayajua,na kwa bahati nzuri misingi mizuri imewekwa #CCM2015

Dk. MAGUFULI - Watanzania wanataka ajira, hawataki kero za ajabu kama mama ntilie kukamatwa, wanataka wajenge uchumi 

Dk. MAGUFULI -'Nimepokea kijiti kwa mikono miwili, simuoni wa kutushinda, nataka nipeperushe vizuri bendera ya CCM

DK. MAGUFULI -'Najua mmepoteza nguvu zenu katika kutembea, mmmetoa jasho, nawahakikishia muda wenu hautapotea bure'
Dk.MAGUFULI -'Mliojitokeza hapa najua wapo

 CCM,CHADEMA,CUF na makabila mbalimbali, tusibaguane kwa dini wala itikadi CCM2015 

Umati wajitokeza kumuunga mkono Mgombea Urais Mhe. John P. Magufuli kuchukua fomu katika ofisi za NEC. 

Post a Comment

Powered by Blogger.