Je wafahamu tabia zinazoweza kuharibu ubongo wako?
Kati ya tabia ambazo unatakiwa kuacha ili kuwa makini na afya njema kiakili ni hizi hapa:

  • Kutopata kifungua kinywa
  • Kula kupita kiasi
  • Kuvuta sigara
  • Kula sukari nyingi
  • Kukaa sehemu yenye hewa chafu
  • Kutolala vizuri
  • Kuziba pua wakati wa kulala (Kutopata hewa safi)
  • Kufanya kazi wakati unaumwa (Ukiwa mdhoofu na magonjwa)
  • Kutokuwa na fikra chanya
  • Kutoongea kwa muda mrefu

Post a Comment

Powered by Blogger.